• +255 677 821 041
UNYANYAPAA NA UBAGUZIUnyanyapaa ni mtizamo au imani hasi juu ya mtu na ubaguzi ni kumtendea vibaya mtu huyo kutokana na mtizamo hasi ulionao juu yake.Kwa watu wanaoishi na VVU, mfano wa unyanyapaa ni kumsema vibaya kutokana na hali yake, kumshusha thamani kama binaadamu na ubaguzi mfano wake ni kumt...